Saturday, June 29, 2013

KIKAO CHA WABUNGE WA CCM DODOMA

IMG_0004Mkurugenzi wa Idara ya mambo ya Nje ya CCM, Dr.Asha Rose Migiro akikaribishwa na Katibu wa Wabunge wa CCM, Jenista Mhagama baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa Msekwa mjini Dodoma kuhudhuria kikao cha wabunge wa CCm Juni 29, 2013. Katikati ni Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0012Katibu Mkuu, wa CCM, Abdlrahman Kinana akiongozwa na Katibu wa wabunge wa CCM, Jenista Mhagama kuingia kwenye ukumbi wa Msekwa  mjini Dodoma kuhudhuria kikao cha wabunge wa CCM juni 29, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0010Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje ya CCM, Dr Asha Rose Migiro akisalimaina na Mbumge wa Kondoa Kusini wakati alipowasili kwenye ukumbiu wa Msekwa mjini Dodoma Juni 29, kuhushuria kikao cha wabunge wa CCM.  Katikati ni Mbunge wa Mpwapwa  ns Nsibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory heu;(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0043Wabunge wa CCM wakimsikiliza Mwenyekiti wao, waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza katika kikao chaokwenye ukumbiwa Msekwamjini Dodoma Juni 29, 2013. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0030Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa wabunge wa CCM wakiimba wimbo wa CCM kabla ya kuanza kwa kikao chao kwenye ukumbi wa msekwa mjini Dodoma Juni 29, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri MkuuIMG_0052Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa wabunge wa CCM wakiimba wimbo wa CCM kabla ya kuanza kwa kikao chao kwenye ukumbi wa msekwa mjini Dodoma Juni 29, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri MkuuIMG_0019Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa Msekwa mjini Dodoma kuhudhuria kikao cha wabunge wa CCM Juni 29, 2013. Kulia ni Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment