Sunday, June 30, 2013

RAIS OBAMA AKITOKEA SAUZ, DAR YAPAMBAMOTO

Wakazi wa Dar es salaam wameendelea kuona nguvu za ulinzi wa Rais wa Marekani, Barak Obama kuanzia Baharini, angani na katika vyombo vya habari. Angalia picha hiyo kama kielelezo sahihi za kudhihirisha wanachomaanisha.

No comments:

Post a Comment