Tuesday, October 2, 2012

Bodi mpya ya UTPC yazinduliwa Mwanza

Bodi Mpya ya Muunganowa Club za waandishi wa habari nchini, UTPC imezinduliwa Jijini Mwanza baada ya kuagwa ya zamani.
Bodi hiyo itakuwa madarakani kwa muda wa miaka mitatu ijayo.
Bodi mya inatazamiwa kuendeleza kuvijengea uwezo vyama vya waandishi wa habari mikoani katika mafunzo na weledi wa kazi hiyobila kusahau maadili.
Bodi ya zamani ilikuwa na wajumbe wafuatao.
Ken Simbaya --rais
Zilipa Josph  makamu wa rais
Juma Nyumayo
Mary Edward
Ali Haji hamadi
Hassan hashim
Devotha Minja
Jimmy Luhende
Deo Nsokolo
Lucy Ogutu

Kati ya hao watatu wanaendele nao Ni Ken Simbaya, Ali haji hamadi na Deo Nsokolo