Wednesday, August 24, 2011

Fort Jesus (Ngome ya Yesu Mombasa! maajabu ya East Africa

Fort Jesus-Ngome ya Yesu pale Mombasa nchini Kenya ni miongoni mwa maajabu ya Afrika Mashariki.
Nilitembelea hapo na kama unionavyo nikiwa na Kibajaji hapo mitaani Mombasa nilikuwa katika harakati wa kutafuta na kuangalia maajabu na Urithi wetu wa hapa Afrika Mashariki.


Hilo Jengo ndiyo Ngome ya Yesu. Lilikuwa limepitia historia ndefu hadi kuwa gereza na Baadaye kubadilishwa kuwa eneo la Makumbusho linalovutia sana. hapo Mbele ni Bahari ya Hindi.








Nikishuka toka Taxi niliyokodi kunitembeza huko Old Mombasa, hapa kwetuTaxi hiyo huitwa Bajaji tu.







1 comment:

  1. Ukitili chabwina mlongo!endelea kutujuza nasi tupate kufaidi...

    ReplyDelete