Thursday, August 11, 2011

Uzuri wa Jiji la Mwanza, Makoroboi Bwana!

Hapo nikiwa nasoma Gazeti la Mwanahalisi Makala iliyoandikwa na Mwalimu wetu wa Kufikiri, Bw. Ndimara Tegambwage kuhusu Mtaa huo wa Makoroboi na umbilikimo wa watawala. Makla hiyo inaeleza kuwa mtaa huo unataka kuuzwa na kuharibiwa sura yake kabisa, wachuuzi na wanunuzi hawatafaidi utamu uliowaasisi kuwepo hapo. Naomba uangalie picha hizo zinavyojieleza ni kama Mtaa wa congo pale Dar, lakini Makoroboi ni zaidi kuna vivuli vya miti na Mawe makubwa yanayoupamba mchochoro huo unaowatengenezea fedha sio machinga tu bali jiji lenyewe la Mwanza.
(Picha Zote na maelezo ya Juma Nyumayo)












No comments:

Post a Comment