Monday, August 29, 2011

Wafanya maomba wasipokonywe ardhi!

Mhesshimiwa Diwani wa Kata ya Mshangano (wa pili toka kushoto) akishiriki maombi na wananchi wengine mara alipo achiwa na Polisi waliomkamata na kumshikilia kwa saa zaidi ya tatu kwa kile walichokiita uchochezi. Wengine ni wenyeviti wa Serikali za Mitaa wa Mitendewawa, Bw. Bernado, Mtaa wa Namanyigu Bw. Malindisa na Mtaa wa Mshangano Bw. Mangwe anayeendesha maombi hayo kwa kuinua mkono juu ili Mungu awasaidie Uongozi wa Mkurugenzi wa Manispaa Nachoa Zakaria na Ofisa Mipango Miji wake Castory Msigala amabao ni kikwazo cha mpango wao wa kurasmishiwa makazi yao wafukuzwe kazi na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda.


No comments:

Post a Comment