Monday, April 29, 2013

WAFUGAJI KUKU WACHANGAMKIA VIFARANGA SONGEA


Wateja wa Vifaranga Manispaa ya Songea, wakisubiri zamu ya kupokea vifaranga wakiwa wamekaa kwenye  Bench, na wengine wakiwa wanaondoka na vifaranga wao kwenye maboksi toka Ofisi ya Euro Poutry iliyopo Jengo la CCM Tawi la Mjini, Mtaa wa Zanzibar, Manispaa ya Songea. Wafugaji wa kuku wanaendelea kuongezeka mkoani hapa kutokana na mahitaji makubwa ya nyama na mayai pia uelewa wa ujasiliamali miongoni mwa wakazi wa Manispaa ya Songea, hasa wanawake. (Picha zote na Juma Nyumayo)



W

Boksi la Vifaranga 100 ambavyo huuzwa kwa Tsh. 160,000 @ Tsh 1,600/= tu.


Wateja wakiondoka na vifaranga tayari kwa kufuga

No comments:

Post a Comment