Friday, April 19, 2013

CHADEMA KUHUSISHWA NA UGAIDI SOMA HAPA

 
Kwa siku kadhaa ndani ya vikao vya Bunge la Tanzania linaloendelea sasa, kumezuka malumbano kati ya vyama vya CCM (tawala) na  CHADEMA (upinzani)  wakati wa kujadili suala la ugaidi.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba alikituhumu CHADEMA kuwa ndicho kinachopanga ugaidi wa ndani ya nchi.

Mbunge Tundu Lissu wa CHADEMA hakufurahishwa na matamshi hayo na akaamua kujibu kwa kusemakuwa Ikulu ya Rais ndiyo inayopanga ugaidi wa ndani ya nchi. 

Ili kujua zaidi kuhusu tuhuma hizo, mtangazaji wa idhaa ya Kiswahili ya Radio Iran, Teheran bwana Salim Swaleh alizungumza na Tundu Lissu. Iliyopachikwa hapa ni  sehemu ya mazungumzo hayo.


Source: http://www.wavuti.com/

No comments:

Post a Comment