Tuesday, April 30, 2013

UTAMU WA KUSOMA HUU HAPA


Mhariri wa Gazeti la Tujifunze, Kanda ya Kusini, Bw. Christian Sikapundwa, akisoma Kitabu cha Mwandishi Nguli wa Kiswahili Afrika Mashariki, Shaaban Robert, "Maisha yangu na Baada ya Miaka Hamsini" Usomaji vitabu ni jambo la maana sana kwa wanataaluma uandishi wa habari. (Picha na Juma Nyumayo)



Naomba usome kwa makini Beti  hizi mbili za  Utenzi wa Adili   toka Uk. 24 kitabu hicho hapo juu cha  Shaaban Robert
 
kisha tafakari....(Juma Nyumayo)
 
20. Amemiliki elimu,
      Kila kitu afahamu,
      Kwake hapana gumu,
      Asilojua mbinuye.
 
21. Yeye ni mfafanuzi,
      Dunia kwake i wazi,
      Wala hakuna tatizi,
      Itatizayo kaziye.
 
 
 
 
 
     
 


No comments:

Post a Comment