Saturday, October 9, 2010

Mkono wa Kwaheri--Rais KIKWETE na Dkt Nchimbi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akiagana na Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Songea Mjini, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (katikati Mwenye kofia kijani) Mwenyekiti wa Chipukizi Mkoa wa Ruvuma, Alina Mfaranyaki ambaye alisalimiana pia na rais kwa kutambulishwa na Dkt Nchimbi. (Picha na Muhidin Amri--Ndolanga)
Rais wa CWT Taifa, Comred Gratian Mukoba (Katikati) akiweka saini Kitabu cha wageni cha Ruvuma Press Club, (Kulia) ni Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club Juma Nyumayo ambaye alipokea shukurani za rais huyo kwa kazi nzuri iliyofanywa na wanahabari wa mkoa wa Ruvuma katika kufanikisha na kuhabarisha umma kuhusu maadhimisho ya siku ya Mwalimu Duniani kitaifa mkoani Ruvuma Oktoba 5, 2010 (Picha na Muhidin Amri- Ndolanga)

No comments:

Post a Comment