Friday, October 1, 2010

Hii ni foleni toka Ubungo mataa hadi Kona kuelekea Kimara


Jamani Dar napo hapafai. Nilikuwa niwahi kule TGNP eneo la Mabibo. Nilipofika barabarani nikakuta hali hiyo. Nikaamua kuchukua Pikpiki kule Songea tunaita yeboyebo na maeneo mengine Bodaboda. Yasinta unayefuatilia mtandao huu na wenzako Mpo hapo? sijui nyie huko majuu mambo yapoje? kuna haja ya kuweka mipango na mikakati ya kuendeleza miundombinu ya barabara pia kujenga setlite towns. (Picha na Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment