Sunday, October 3, 2010

Dr Slaa na Mkewe Josephine walivyotesa Ruvuma


Penye mafanikio ya Mwanamume mwanamke yupo! hapa Josephine Mshumbusi mke wa Dr Willbrod Slaa akisalimia wananchi na kumuombea Kura mmewe dr Slaa katika viwanja vya Majengo manispaa ya Songea. Mkutano huo ulifunikwa na watu kibao dalili zilizojitokeza wazi kukunwa na mgombea huyo ambaye ni tishio hasa mijini (Picha na Christian Sikapundwa)

No comments:

Post a Comment