Friday, October 1, 2010

Jaji Mkuu wa Tanzania na wadau wa Habari Blue pearl DSM

Jaji Mkuu wa Tanzania Agustino Ramadhani (Mwenye suti nyeusi waliokaa katikati) akimwangalia Mzee lifa Chipaka hasimu mkubwa wa Serikali ya Mwalimu Julius Nyerere na ndiye Kiongozi wa Chama Cha TADEA walipopiga picha ya pamoja na wadau wahabari katika Mkutano ulioandaliwa na Misa-Tan na UNDP kuweka sawa uwanja wa habari katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa Oktoba 31 mwaka huu. (picha na Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment