Friday, August 27, 2010

Wanafunzi toka UDSM wakitambulishwa RUNECISO!

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Fatuma S. Lazaro, (katikati) na Elizabeth C. Mbena , wakipatiwa maelekezo kutoka kwa Katibu wa mtandao wa asasi zisizo za kiserikali mkoa wa Ruvuma (RUNECISO) , Juma Nyumayo, (Picha ya 1&2) Picha ya 3 wakiwa wanatambulishwa kwenye Ofisi jirani ya SACCOS ya walimu Songea vijijini mkoani Ruvuma (Picha na Ndolanga, maelezo na Fatuma S. Lazaro)





No comments:

Post a Comment