Tuesday, August 24, 2010

VIONGOZI RUVUMA PRESS


Viongozi wa Ruvuma Press Club (kutoka kushoto) Mtunza Hazina, Jacquline Clavery Moyo, Mwenyekiti Juma Nyumayo wakimwelekeza jambo Mwandishi wa gazeti la Mtanzania Editha Karlo jambo la kurekebisha wakati Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma Deogratias Ponera anayefanya mafunzo kwa vitendo kwenye chama hicho akiangalia. (Picha na Agustino Chindiye)

No comments:

Post a Comment