Wednesday, August 25, 2010

Mwenyekiti Ruvuma Press akiwa Jangwani-Dar


Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club, Juma Nyumayo, alipohudhuria uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CCM Viwanja vya Jangwani Dar es Salaam. Mlezi wa Chama hicho Mhe. Eng. Stella Manyanya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC) pia alikuwepo na ndiye aliyemshauri Mwenyekiti huyo awepo siku hiyo.(Picha na Credo Driver wa Mhe. Manyanya)

No comments:

Post a Comment