Wednesday, August 25, 2010

Mhe. Manyanya (MNEC) katika sura tofauti!



Mhe. Manyanya akiwa katika sura tofauti mara baada ya uzinduzi wa kampeni za CCM kitaifa katika viwanja vya Jangwani Jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi, Agosti 22, 2010. alikuwa akizungumzia hasa umuhimu wa mgombea Urais Mhe Jakaya Kikwete na mgombea Mwenza wake Dkt. Ghalib Bilal kuwa watashinda kwa kishindo na kwamba CCM imetekeleza mabo mengi katika Ilani yake ya uchaguzi ya Mwaka 2005. Hilo gari la Kijani ni la Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Mhe. Jakaya Kikwete, akiondoka katika Viwanja hivyo wananchi, wakereketwa na wapenzi wa CCM wakimpungia na kumtakia heri katika safari yake ya kampeni itakayochukua umbali wa takriban km 38,000 ardhini nchi nzima. (Picha zote na Maelezo na Juma Nyumayo)







No comments:

Post a Comment