Tuesday, August 24, 2010

POWER TILLER BWANA, KIBOKO!



  1. Power Tiller, ikishamaliza kulima, unaitwisha mahindi katika tela hapo nyuma, likishafika nyumbani unafunga kinu cha kupukuchua, halafu kinu cha kusaga litume kazi upendavyo kuhakikisha unafanikisha Mpango wa kilimo Kwanza.
  2. Hapa Power Tiller lipomzigoni kama lilivyopigwa picha na Mpigapicha wetu linapukuchua mahindi eneo la Madaba Songea vijijini. (Picha na Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment