Monday, September 10, 2012

Nitakulilia daima, ukatili huuhukufanyiwa wewe tumefanyiwa sisi



Samahani kwa kuweka Masalia ya Mwili wa Daud Mwangosi, Mwandishi wa habari wa Channel Ten aliyeuawa kikaqtili baada ya kulipuliwa na Bomu mikonon mwa Polisi. Tutamlilia, machozi yetu yamwgilie mbegu za upendo kwa Polisi wa Tanzania pamoja na viongozi wanaowatuma kutekeleza unyama kwa raia wanaotakiwa kuwalinda.Mwangosi tunakulilia wenzio, najua hutusijii, wakatili wako wanatusikia wanatuona na kesho watatuona tukiandamana. Si kwaajili yako ni kwaajili yetu, watoto wetu na wao pia

Starehe kwa Amani Mwangosi, Msiba wako ni maumivu makubwa na mateso makubwa kwa taifa hili.

No comments:

Post a Comment