Wednesday, September 12, 2012

Ni haki Watoto wa Wakulima na wafanyakazi kuua?




PICHA NO Na 2:Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma, (Kuanzia kushoto) Nathan Mtega wa Radio One, Amon Mtega wa Jamboleo, Joseph Mwambije wa Majira na Muhidin Amri wa HabariLeo wakiangalia Picha ya mabaki ya aliyekuwa Mwandishi wa habari wa ChannelTen, Daud Mwangosi aliyeuawa kwa bomu huko Nyololo Iringa. Tukio hili walilifanya Tarehe 11, Septemba 2012, kabla ya Maandamano ya waandishi mkoani hapa kugonga Mwamba kutokana na sintofahamu ya Viongozi wa Ruvuma Press Club na wasaidizi wao kukosa mawasiliano na Waaandishi wenzao.


PICHA ya Kwanza: Baadhi ya wandishi wakiwa nje ya Ofisi ya Mwakilishi wa Radio One mkoani Ruvuma wakisubiri Maelekezo ya Maandamano ambayo hayakufanyika.


Picha ya Tatu: Askari waliomsulubu Mwangois hadi kumuua kwa Bomu na Kumjeruhi Mkubwa wao ambaye amenyosha fimbo juu.




Wote hao juu ni watoto wa wakulima na wafanyakazi wa nchi hii hakuna mwenyehaki ya kumuua mwenzie hasa wawapo kazini wakitafuta ridhiki kwa njia halali.




























No comments:

Post a Comment