Saturday, August 25, 2012

Waislmu wakubali kuhesabiwa Ruvuma

Wakati Taifa liningia ktika zoezi muhimu la Sensa, Waislamu hapa mkoani Ruvuma wamelegeza msimamo wa kukataa kuhesabiwa hasa wale wa kata ya Ruvuma ambao walitangaza kutojihusisha na zoezi hili. juhudi za Mkuu wa mkoa wa Ruvuma said Thabit Mwambungu na baada ya Mufti wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba kutoa msimamo thabiti wa waislamu kuwa sensa ni muhimu kwao wakati wa Sherehe za Idd El Fitri kitaifa mkoani Ruvuma, aliwaomba waislamu waitendee haki serikali yao kwa KUHESABIWA. ZOEZI HILO LINAANZA USIKU HUU katika maeneo maalum kama Stendi, kwenye Guest House na maeneo yaliyoelekezwa. Tutaendelea kuwajulisha yatakayojitokeza



No comments:

Post a Comment