Sunday, August 26, 2012

Asante Mbunge Dkt. Nchimbi, Gari l wagonjwa Manispaa ya Songea








Gari la Wagonjwa lililotolewa zawadi na Mbunge wa Jimbo la Songea mjini, Dkt Emmanuel Nchimbi linavyoonekana kwenye picha, hapo likiwa limeegesha Kituo cha Afya Mjimwema likisubiri dharura za wagonjwa.

Mji wa Songea unakuwa kwa kasi kama unavyoona msongamano katika picha hiyo ya tatu, shughuli za uchumi, kijamii na siasa zimekuwa wakati za kiutamaduni zikidorora kwaajili ya watu kuiga mitindo, na utamaduni wa nje unaoenezwa kwa nguvu na vyombo vya habari na bidhaa za kutoka nje.

Ni nadra sasa katika mji huu kuziona ngoma, makundi ya vijana wenye adabu zao kama zamani ya miaka ya 1980/ 90.

Kutokana na ongezeko la watu, huduma za Gari la wagonjwa limepokelewa kwa mikono miwili.

(Picha zote na Juma Nyumayo)

















No comments:

Post a Comment