Sunday, August 19, 2012

Sikukuu ya IDD EL FITR KITAIFA Songea 2012

Habari za Idd el Fitri katika Picha, Picha zote na Juma Nyumayo wa www.ruvumapress.blogspot.com













































Picha Na 4: Mgeni Rasmi wa Idd el fitr kitaifa Mkoani Ruvuma, Said Thabit Mwambungu (Katikati) ambaye ni Mkuu wa Mkoa huo akipokelewa na viongozi wa Msikiti Mkuu wa mkoa wa Ruvuma uliopo Manispaa ya songea

Picha Na3: Mufti wa Tanzania, Sheikh Issa Shaaban Simba akiingia ndani ya Msikiti wa Mkoa wa Ruvuma Manispaa ya Songea kuhudhuria ibada ya Idd el fitr kitaifa nyuma yake akifuatiwa na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu

Picha Na 2: Immam wa Msikiti wa Mkoa wa Ruvuma Manispaa ya Songea, Shekh Shaaban Mbaya akitoa hotuba ya Idd el fitr kitaifa mkoani Ruvuma wakati waumin wakimsikiliza

Picha Na1: Baadhi ya waumin wanawake wakiwa wamesimama nje ya msikiti mara baada ya kumaliza swala ya Eid el Fitr kitaifa mkoani Ruvuma.

No comments:

Post a Comment