Sunday, July 7, 2013

SHEREHE YA MAJAMANDA, NI FURAHA TUPU


Mama mkwe Jafua Bint Abdalah, akicheza na mkamwana wake Hindu Said,  mke wa Bw. Juma Nyumayo,  katika sherehe ya majamanda iliyofanyika nyumbani kwao,  Mshangano Manispaa ya Songea tarehe 7/7/2013. Hapo ni baada ya kupewa zawadi ya khanga na mama mkwe huyo, huku wajukuu waliomsindikiza wakifurahia kwa bibi huyo kulisakata rhumba.


Baadhi ya wageni na wenyeji walioshiriki sherehe hiyo wakishangilia manjonjo ya MC Suzzy.

2 comments: