Saturday, July 13, 2013

RUVUMA WAFANYA MAANDALIZI YA KUMPOKEA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA

 Hivi ndivyo mji unavyoonekana leo katika baadhi ya barabara za Manispaa ya Songea
 Gari likisukumwa baada ya kukaa muda mrefu katika garage bubu iliyopo mitaa ya Buhemba
 Mji safi
Hapa ni mtaa wa Dilux magari yakiwa yamepangwa katika utaratibu mzuri
Mji unawake
Wafanya biashara wa matunda katika eneo hili la Dilux wameondolewa kutokana na ujio wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda mkoari Ruvuma
Dereva Yebo wakiwa katika vituo vyao kwa utaratibu mzuri
Gari la Manspaa likiwa kazini maeneo ya bombambili huku wafanya kazi wakiwa wanazoa na njia hii atapita akiwa anaelekea kukagua miradi na kuweka jiwe la msingi katika baadhi ya maeneo
 Hii ni sehemu moja wapo iliyobomolewa vibanda ikiwa ni  kuweka mji safi
Hapa ni maeneo ya Bombambili upakaji wa rangi alama za barabarani ukiendelea siku ya leo kabla ya Waziri mkuu kutua Ruvuma hapo kesho

Habari kwa hisani ya www.demashonews.blogspot.com

No comments:

Post a Comment