Thursday, July 4, 2013

BANGO LA SHIRIKA

Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika Yasiyokuwa ya kiserikali Mkoa wa Ruvuma (RUNECISO) Bw. Adam Nindi akikiangalia kibao kinachoonesha ofisi yake ilipo Manispaa ya Songea  juzi. Uwepo wa vibao kama hivi kwa Ofisi za serikali, Mashirika na Shule za Msingi na sekondari ni muhimu sana kwa wadau kuokoa muda wa kuzifikia na kuhudumiwa.

No comments:

Post a Comment