Wednesday, March 6, 2013

Nilipokuwa viwanja vya Mashujaa wa vita vya Majimaji

Mara nyingine  tene, Juma Nyumayo (Pichani)  nilikuwepo kwenye viwanja vya Mashujaa wa Vita vya Majimaji Manispaa ya Songea kuhudhuria Tamasha la Kumbukizi la Vita vya Majimaji na Utalii wa Utamaduni. Kwaujumla mambo yalikuwa mazuri sana. Zuria jekundu kwaajili ya Mgeni Rasmi, Mhe. Balozi hamis Kagasheki, Waziri wa maliasili na Utalii. Watu wenyewe pia walivalia nguo nyekundu na vitambaa vyekundu ishara ya wapiganaji wakingoni.

No comments:

Post a Comment