Monday, March 25, 2013

Nikiwa na G Sengo wa Clouds Mwanza

Bw. G Sengo, Mwanahabari machachari mwenye vipaji Kibao. Sengo ni Bloger pia ni MC wa Nguvu katika Shughuli mbalimbali zenye Mvuto Jijini Mwanza. jambo linalovutia zaidi Sengo ni Mtangazaji na ni Mwanhabari wa Clouds FM Mwanza. (Pichani kushoto akishangaa jambo baaada ya mimi Juma Nyumayo- Kulia kumtonya wakati picha ikipigwa kwenye hafla ambayo ilikuwa akiindesha yeye kama Msema Chochote, (MC) aliyefanikisha sana shughuli hiyo iliyohudhuriwa na watu mashuhuri wakiongozwa pia na  Wakuu wa madhehebu mbalimbali. (Picha na  Bw. Hassan Hashim wa Tanga Press Club.)

No comments:

Post a Comment