Monday, March 29, 2010

RUVUMA WAJENGEWA UWEZO KUFUATILIA FEDHA ZA UMMA


Washiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo wa jamii kufuatilia Matumizi ya Fedha za Umma wakiwa wanafuatilia hotuba ya katibu Mtendaji wa TACOSODE wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yanayoendelea Ukumbi wa VETA Manispaa ya Songea kwa Siku tano.(Picha na Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment