Wednesday, March 24, 2010

Maadhimisho ya siku ya Kifua Kikuu Duniani Ruvuma

Maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani Mkoani Ruvuma yamefanyika Mtaa wa Ruvuma Chini Manispaa ya Songea, Pichani wananchi wakiwa katika msururu wa kupima afya yao hasa VVU/UKIMWI Mgeni rasmi wa Siku hiyo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea, Thomas Ole Sabaya (Picha na Juma Nyumayo)

Picha ya pili ni Askari wa Kikosi cha 401 KV akiwa tayari kwa kazi iliyoko mbele yake na kuitekeleza kikamilifu. wananchi wametakiwa kuwa kama askari kupambana na magonjwa kama Kifua Kikuu kwa kasi na Mbinu mpya ili kuutokomeza. (Picha na Juma Nyumayo)



No comments:

Post a Comment