Thursday, December 26, 2013

Mwanahabari Mkongwe Adam Mzuza Nindi afunguka


Mwanahabari Mkongwe, Mwakilishi wa Radio Free Africa na Star TV Mkoani Ruvuma, Bwana Adam Mzuza Nindi,  Amefunguka na tathimini ya kazi katika Blogu 
Haya hapa chini ndiyo Maneno  yake na picha hapo juu alipost katika Blogu yake ya : www. songeahabari.blogspot.com
  
Uchunguzi wa Habari za kuwa wafaa wananchi ni mhimu sana ,Hebu Tuone sasa tuna Maliza Mwaka yepi mazuri yaliyo fanywa na Wandishi wa Habari na Yepi mabovu yaliyo fanywa na Waandishi wa Habari. Tujitathini wenyewe tusipige katumba kuonyesha vidole kwa wenzetu Pale tulipo kosea tuji sahihishe na Pale tulipo fanya vizuri tuboreshe zaidi Bado siku chache za kumaliza Mwaka lakini lazima Waandishi Tujipange Hapo ni Mwandishi Mwandamizi Juma Nyumayo (aliyesimama) akiwa na Mkongwe wa Habari Adam Mzuza Nindi wakitathiminji mwaka 2013

No comments:

Post a Comment