Wednesday, July 20, 2011

Miaka 50 baada ya Uhuru, mafiga matatu yatumika kusonga ugali

Mambo ya lishe, bado mika 50 baada ya Uhuru mwanamke huyu anawakilisha kundi kubwa la wanawake nchini Tanzania kupika kwa kutumia mafiga matatu na kutumia nishati ya kuni nyingi kama ilivyokuwa enzi ya Adam na Hawa, kwa hali hii ukombozi wa kimapinduzi na haki za uchumi kuwafikia wanawake walio pembezoni bado ni changamoto kubwa.
Mwezeshaji Neema Duma Toka TGNP Dar es Salaam, akiwawezesha Madiwani wanawake viti maalum Mkoa wa Ruvuma katika Ukumbi wa CWT mkoawa Ruvuma mjini Songea kuhusu kampeni ya haki za kiuchumi kwa wanawake walio pembezoni. Changamoto kubwa waliyonayo madiwani hao ni kutothaminiwa na madiwani wa Kata zao na baadhi ya wataalamu kwenye halmashauri zao. Picha na Maelezo yote na Juma Nyumayo.
Mika

No comments:

Post a Comment