Friday, May 28, 2010

Mlezi Mbunge Manyanya anapoteta kuomba umeme!





Kikundi cha Ngoma ya Beta katika viwanja vya makumbusho ya taifa ya Majimaji na kulia Balozi wa Sweden nchini Staffan Herrstom akiangalia ngoma akiwa na Mwenyeji wake Mlezi wa Chama cha waandishi wa Habari Mkoa wa Ruvuma, Mbunge Stella Manyanya. Picha nyingine balozi akiangalia picha za Mashujaa wa Majimaji ndani ya Jumba la Makumbusho.





Angalia Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club anavyocheza ngoma ya Beta akiwa na kiongozi wa Kundi hilo Mama Nagama,

No comments:

Post a Comment