Thursday, May 20, 2010

Mbunge Likokola anapotetea wanawake



Baadhi ya wananchi hudai hawaijui katiba ya nchi wala hawajawahi kuiona. Hivyo hata rangi ya jalada lake hawalijui. hapa Mbunge viti Maalumu Wanawake Mkoa wa Ruvuma Mhe. Devota Mkuwa Likokola, akiinyesha katiba na kuvisoma vifungu katika Mkutano na kueklezea Usawa wa watu na Umuhimu wa kusimamia kikamilifu elimu ya Mtoto wa Kike. Hii ni mifano inayotakiwa kuigwa na viongozi si wa kisiasa tu, bali hata mshirika yasiyo ya kiserikali, Dini, na Wasomi. TGNP wapo mbele kwa kuelimisha. (Picha na Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment