Friday, February 18, 2011

Da siku nyingi sikuwepo hewani!

Hapa Juma Nyumayo Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club akimwelekeza jambo Kamanda wa polisi Mkoa wa Ruvuma Bw Michael Kamuhanda katika viwanja vya makumbusho ya taifa ya Majimaji Mjini Songea ambapo juma hili wageni kadhaa wenye hadhi tofauti watahudhuria maadhimisho ya Tamasha la kitaifa la Utalii wa Kiutamaduni katika mji wa Kishujaa na Kihistoria wa Songea. Tamasha hilo linakwenda sambamba na Kumbukizi za kunyongwa viongozi wa kingoni miaka zaidi ya 1oo iliyopita.

No comments:

Post a Comment