Friday, February 18, 2011

CHADEMA WALIPOTEMBELEA RUVUMA PRESS KUJENGA UHUSIANO

VIONGOZI wa CHADEMA wilaya ya Songea na MKOA wa RUVUMA wakiwa mbele ya Ofisi za RUVUMA PRESS CLUB wa kwanza na wa pili kushoto ni waandishi wa habari na watatu ni Diwani wa Majengo kupitia Chadema Mhe. Iddi Abdalah. Hawa wanajua wanachokifanya hasa baada ya kushinda kata 5 manispaa ya Songea na Kupata mgao wa Madiwani viti maalum wawili hao waliochuchumaa toka kulia Mhe Rhoda Komba na wa katikati anayeitwa Grace.

No comments:

Post a Comment