Monday, September 20, 2010

Unapajua hapo?




Wakati wa kampeni raha kama nini, je baada ya uchaguzi watapita humo. Hapa ni Mto Ruhuhu Mkoani Ruvuma na JK akishuka katika ardhi ya Mbeya Vijijini (Picha zote kwa hisani ya http://www.kalulunga.blogspot.com/)

No comments:

Post a Comment