Wednesday, September 29, 2010

Mahafali kidato cha nne Sekondari ya Msamala

Mama anapomzawadia bint yake akiwa amehitimu zsafari ya miaka 4. pichani Amina Nyumayo aliyekuwa anasoma sekondari ya Msamala manispaa ya Songea akipokea zawadi toka kwa mama yake Mzazi wakati wa mahafali ya sita ya Shule hiyo wiki iliyopita. (Picha na Maelezo na juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment