Saturday, September 18, 2010

Dorothy Mbilinyi wa TGNP ndani ya RUVUMA

Mama Dorothy Mbilinyi, (aliyekaa katikati) kaanza kazi mara moja kwa kueleza nini anatarajia kufanya katika mafunzo ya jinsia na Demokrasia hapa Ruvuma, katika picha anaonekana akihesabu point za kusisitiza kwa viongozi wa Dini mbalimbali na Mashirika yasiyo ya kiserikali. Wengine waliosimama Ni Steve Chindiye wa Ruvuma Press, Juma Nyumayo wa RUNECISO Fatuma Lazaro wa UDSM na Elizabeth Mbena wa UDSM aliyekaa kulia kabisa ni Judith Lugoye.
Mpiga Picha wa Gazeti la Mtanzania Bw Muhidin Sufiana (Kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari Mkoa wa Ruvuma Juma Nyumayo baada ya kutembelea ofisi za Chama cha Waandishi wa habari mkoani hapa, hivi karibuni. wenginme ni happy Katabazi wa Tanzania daima na Editha Karlo wa Mtanzania.


Prof. Ibrahim Lipumba wa CUF Mgombea Urais Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, 2010 akitoa sera kwa wananchi katika ngome ya CHADEMA viwanja vya stendi ya malori Majengo Manispaa ya Songea.
Picha nyingine baadhi ya watoto na watu wazima waliofika katika viwanja hivyo kusikiliza sera za CUF. (Picha zote na Muhidin Amri- Ndolanga)






No comments:

Post a Comment