Friday, June 11, 2010

Miss Ruvuma 2010 huyu hapa

Huyu ndo Miss Ruvuma 2010, Furaha david miaka 20, alipatikana pale viwanja vya Makumbusho ya Taifa ya Majimaji mjini Songea anasubiriwa kwa hamu kama kweli atashinda Miss Tanzania mwaka huu. Dkt. Mayunga wa Ores Tanzania amemuajiri mara moja kufanya kazi za kusaidia yatima na alijinyakulia kitita cha Shilingi laki nne. Hongera saaanaaa! (Picha Na Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment