Friday, October 21, 2011

Maskini kijana huyu! Ona kipondo hicho.

Kijana huyo alipata mkong'oto katikati ya Mji wa Songea baada ya kutuhumiwa kumuibia mama mmoja msafiri. Baadaye kijana huyo alipelekwa polisi kituo cha kati na karandinga la polisi. (Picha na Muhidin Amri)

No comments:

Post a Comment