Saturday, February 27, 2010

Magereza Kitai.

Hili ni Shamba la kuzalisha Mbegu la Gereza la Kitai, Mbinga.
Hivi karibuni Shamba hilo lilitembelewa na Makamu wa Rais, Dkt Ali Mohamed Shein, ambaye alisifu juhudi za kazi za Kilimo hasa kuzalisha mbegu za Mahindi bora ili kuwauzia wakulima wazalishe zaidi kwa usalama wa chakula. (Picha na Juma Nyumayo)