Saturday, February 27, 2010

Hayo ya Songea Mjini

Wananchi wakifuatilia maandalizi ya maadhimisho ya Mashujaa wa Vita Vya Majimaji, katika Makumbusho yaliyopandishwa hadhi kuwa ya Kitaifa eneo la Mahenge, Mjini Songea. Hapa wanamsubiri Makamu wa Rais Dkt. Ali Mohamed Shein, aliyetembelea makumbusho hayo hivi karibuni. (Picha Kwa hisani ya Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club, Juma Nyumayo)

No comments:

Post a Comment