Tuesday, September 10, 2013

WAANDISHI NA VINGOZI WA SERIKALI

Baadhi ya Waandishi wa habari wanaume wa mkoa wa Ruvuma, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa serikali ya Mkoa wa Ruvuma. (Mwenye shati la maua katikati) ni  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabith Mwambungu ( jirani yake kushoto )  ni Mkuu wa Wilaya ya Songea,  Bw. Joseph Joseph Mkirikiti . ( Picha kwa hisani ya Ruvuma Press Club)

No comments:

Post a Comment