Saturday, August 31, 2013

KISOMO MWANZA WAPETA

Na Juma Nyumayo, Songea
KITUO Cha Taifa Kisomo Mwanza kinaendelea kutoa huduma zake kwa kuzingatia Matokeo Makubwa sasa (Big result Now) Kituo hiki kinaongozwa na Naibu Mkurugenzi Kisomo Mwanza, Bibi Mary Salu ambaye amewakaribisha wakuu wa vituo vya uchapaji kanda vya Songea, Mbeya, Tabora na Mkuu wa Press 'A' Dar es Salaam. angalia Picha zifuatazo.
Watumishi wa Kituo cha Kisomo Mwanza wakiwa katika Idara ya Computer, anayeonekana mbele ni Rabeca Fred akiwa kazini.



Mr Andrew Kingu akionyesha Ubora wa kazi zinazochapwa na Kiwanda cha Kisomo Mwanza

Naibu Mkurugenzi Kituo cha  Taifa Kisomo Mwanza, Bibi mary salu ( kushoto) akitoa maelezo kuhusu kiwanda cha uchapaji kisomo mwanza (kulia) ni juma Nyumayo toka Tujifunze Songea.



No comments:

Post a Comment