Thursday, May 3, 2012

WADAU WA ELIMU WAKIPITIA CHANGAMOTO ZA ONGEZEKO LA KUTOJUA KUSOMA KUANDIKA NA KUHESABU

Kikundi cha wadau toka Manispaa na Songea Vijijini wakiibua hoja mbalimbali kuhusu mitaala ya elimu na ongezeko la wasiojua KKK kwa wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hapa mkoani Ruvuma ili zichukuliwe na Taasisis ya elimu Tanzania -TET wazifanyie kazi kuokoa jahazi. ( Picha na Christian Sikapundwa)

No comments:

Post a Comment