Thursday, May 3, 2012

Taasisi ya Elimu Tanzania kujenga stadi za kusoma kuandika na kuhesabu (KKK)

Picha ya kwanza juu: Mkurugenzi wa Chuo kikuu Huria (OUT), Songea Andrew Komba akichangia hoja kuhusu maboresho ya mitaala ya elimu hapa nchini.


Mkurugenzi Mkuu Taasisis ya Elimu Tanzania, Dr. Paul D. Mushi akikielezea kitabu cha Tafakuri ya Maboresho ya Mitaala na Mkakati wa Mafunzo kwa Wadau katika Ukumbi wa maliasili Mjini Songea jana. (Picha na Christian Sikapundwa)

WADAU WA ELIMU WAKIPITIA CHANGAMOTO ZA ONGEZEKO LA KUTOJUA KUSOMA KUANDIKA NA KUHESABU

Kikundi cha wadau toka Manispaa na Songea Vijijini wakiibua hoja mbalimbali kuhusu mitaala ya elimu na ongezeko la wasiojua KKK kwa wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hapa mkoani Ruvuma ili zichukuliwe na Taasisis ya elimu Tanzania -TET wazifanyie kazi kuokoa jahazi. ( Picha na Christian Sikapundwa)

Monday, March 26, 2012

Kwanini watu huharibu kumbukumbu?

Barabara Dar kwenda Morogoro eneo la Ubungo linavyoonekana baada ya kupanuliwa mwanzoni mwa miaka ya 2000.


Miaka ya 1995 hadi 2005 Serikali ya awamu ya tatu Waziri Mkuu wakati ule Mheshimiwa Frederick Sumaye chini ya Rais Che Ben Mkapa alifanya maamuzi ambayo hayatasahaulika, kwanza alilivunja Baraza la madiwani wa Jiji la Dar es Salaam akaunda Tume ya Jiji la Dar es Salaa, ikaongozwa na Bw. Keenja Tume ile ilifanya kazi nzuri saana. Pili akaamuru kuvunjwa kwa nyumba zilizopo kandokando ya barabar ya Morogoro tokea pale ubungo kuelekea Kimara kupisha uapanuzi wa barabara hiyo ili Foleni kubwa ya magari ipungue katika hicho kibarabara kimoja na kuwa mbili za kuingia mbili zinatoa. mheshimiwa benjamin Mkapa aliifungua barabara ile mimi nilikuwepo pale Ubungo Minazi karibu na Jengo la Tanesco. Mkapa aliifungua barabara ile pamoja na Kituo kile cha mabasi ya Daladala kwa Mbwembwe kibao akiongozwa na maneno ya uhakika ya kuitunza barabara ile na Dkt. John Pombe Magufuli waziri wake aliyekuwa akiwaita Askari wa mwamvuli pamoja na viongozi wengine kibao wa ndani na nje hasa wale walifadhili ujenzi wa barabara ile. Cha kushangaza leo nimezuru eneo lile na kile kibao kilichoandikwa Tarehe ya ufunguzi kimeng'olewa. Hakuna anayejali. Tabia hii ipo kila mahala sasa. kumbukumbu zapotezwa kwaajili au ya biashara ya chuma chakavu au ni ujinga tu? kwa wale wanaojali historia tabia hii inachukiza sana.

Saturday, March 24, 2012

Kama naanza vile!



Ndugu wapendwa ni kitambo sijawapatia vile vitu mwavitaka. Hii ilitokana na matatizo ya hapa na pale ya ki- technolojia lakini nimekwisha weka mambo sawasawa.
Nimewakosa sana wasomaji wa nje kama kina Yasinta Ngonyani na Prof. Mbele na wenzao huko majuu na wewe msomaji mpendwa hapo ulipo katika anga za hapa nchini, barani Afrika, Asia, Ulaya, Marekani na kwengineko. Naahidi kufanya mabadiliko makubwa tuombeane uzima.

Tuesday, November 15, 2011

TGNP ndani ya Ruvuma kiutafiti zaidi









Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP, wapo mkoani Ruvuma kwa utafiti kuelewa ni kwa kiasi gani vyombo vya habari vimecangia katika kutangaza na kusambaza habari kupitia kampenina harakai za Ukombozi wa mwanamke Kimapinduzi katika Mkoa wa Ruvuma.
Utafiti huu unaoumia mbinu za kukusanya taarifa kwa madodoso, majadilianao,kazi za vikundi, maswali ya uchokozi na Uchambuzi wa pamoja inawashirikisha washiriki wa semina zilizowahi kuendeshwa na TGNP mkoani Ruvuma katika Makundi matatu.
Makundi hayo ni Waheshimiwa Madiwani viti Maalum wa Manispaa ya Songea, washiriki toka Asasi zisizo za kiserikali, Vikundi vya wanawake na waandishi wa habari.
Utafiti huu unaoshirikisha zadi yawatu 30 unaongozwa na Bw. Badi Darusi toka TGNP makao Makuu Dar es Salaam, ambapo pichani anamuelekeza Judith Lugoye wa Ruvuma Press Club namna ya kutuma picha katika mitandao mbalimbali.
(Piha na maelezo Juma Nyumayo)

Tuesday, October 25, 2011

Maskini Gaddafi ! Soma hapa













OOOH! GOD!





The bodies of the Libyan leader, Muammar Gaddafi, his son Mutassim and a former aide have been moved from a commercial freezer in a warehouse area of Misrata in anticipation of burial, according to a security guard.
Ibrahim Beitalmal, a local military spokesman, said the burial was likely to take place on Tuesday. He said the three men would be interred in unmarked graves in a secret location to avoid vandalism.
Asked about the removal of the bodies from the freezer, he said he was unaware of the process of burial getting under way.
However, Salem al Mohandes, a security guard at the warehouse complex, said the bodies were moved late on Monday from the freezer, where they had been on display for the past four days.
"Our job is finished," al-Mohandes said. "[Gaddafi] was transferred and the military council of Misrata took him away to an unknown location. I don't know whether they buried him or not."
An Associated Press Television News team saw three vehicles leave the warehouse area late on Monday. The team then entered the freezer and found it empty.
An official from the National Transitional Council (NTC) said Gaddafi's (just like Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Che-Guevara) burial will be in a secret desert grave.
'Loyalists executed'
The developments came as the New York-based rights group, Human Rights Watch (HRW), warned of a "trend of killings, looting and other abuses" by those who had fought against Gaddafi.
HRW said it had found 53 decomposing bodies, apparently Gaddafi loyalists, in Sirte, and that there were indications they may have been executed by revolutionary forces supervised by NATO.
The bodies were found on the lawn of the abandoned Mahari hotel, and some had their hands bound.
Peter Bouckaert, a researcher for HRW, said the hotel had been under the control of NTC fighters from Misrata before the killings took place.

The condition of the bodies suggested that the men had been killed between October 15 and 19, HRW said.Bloodstains on the grass and spent cartridges indicated that some were shot and killed at the spot they were discovered.
"This latest massacre seems part of a trend of killings, looting, and other abuses committed by armed anti-Gaddafi fighters who consider themselves above the law," Bouckaert said in a statement.
NTC fighters in Misrata, a city that had been besieged by Gaddafi's troops for weeks earlier this year, had no immediate comment.
The US state department termed the report "extremely disturbing".
Gene Cretz, the US ambassador to Libya, had "raised it with the National Transitional Council today and asked them to conduct a full investigation", according to a state department spokesperson.
Inquiry ordered
Earlier, the NTC ordered an investigation into the death of Gaddafi after international pressure to examine the circumstances surrounding his death.
A commission of inquiry is being put in place to investigate the killing of Gaddafi, who was captured by NTC fighters outside Sirte on Thursday and shot shortly afterwards, apparently while being transported to Misrata.
"In response to international calls, we have started to put in place a commission tasked with investigating the circumstances of Muammar Gaddafi's death in the clash with his circle as he was being captured," Mustafa Abdel Jalil, the head of the NTC, said in Bengazi on Monday.Abdel Jalil who is currently working as a puppet for NATO and US also announced that the process of forming a new interim government was already under way, and would be completed "within two weeks".
He said all Libyans "wanted to try [Gaddafi] for what he has done to them. From executions, to imprisonment, to throwing away the Libyan wealth ... or using that wealth against the Libyan people".
The NTC has insisted their lies to Africans and the whole world that Gaddafi was killed in "crossfire" between NTC fighters and pro-Gaddafi loyalists after his capture from a drainage pipe outside his hometown of Sirte.Some members of the NTC, as well as of the international community, have expressed doubt over this version of events.
The US, Britain and international rights groups have all called for an investigation into how Gaddafi was killed in what appeared to be one of the final acts of Libya's eight-month civil war.
Critics have also said that the fact that Gaddafi's body, along with that of his son Mutassim, was put on display raises questions about the NTC's commitment to the rule of law.
Abdel Jalil has said Gaddafi may have been killed by his own loyalists in order to escape being implicated by him in any trial.
"Some people may have wanted him to have been tried to extend their feeling of relief at his downfall," he said."Free Libyans wanted Gaddafi to spend as much time in prison as possible and feel humiliation as much as possible.My TakeWhatever those who refer themselves as free Libyans think might be, there is one thing they are not aware of. That they are going to be humiliated for the rest of their lives for allowing themselves to become a new Imperialist Colony. For him Abdel Jalil his prize is to become a new proxy symbol of new Libyan leadership whilst is a puppet just like Savimbi and Mobutu whom Imperialists used them during cold war. Abdel Jalil was a former minister for Gaddafi regime who made a deal to become a Western dog in order to get power and wealth.

Friday, October 21, 2011

Maskini kijana huyu! Ona kipondo hicho.

Kijana huyo alipata mkong'oto katikati ya Mji wa Songea baada ya kutuhumiwa kumuibia mama mmoja msafiri. Baadaye kijana huyo alipelekwa polisi kituo cha kati na karandinga la polisi. (Picha na Muhidin Amri)