Thursday, May 3, 2012

Taasisi ya Elimu Tanzania kujenga stadi za kusoma kuandika na kuhesabu (KKK)

Picha ya kwanza juu: Mkurugenzi wa Chuo kikuu Huria (OUT), Songea Andrew Komba akichangia hoja kuhusu maboresho ya mitaala ya elimu hapa nchini.


Mkurugenzi Mkuu Taasisis ya Elimu Tanzania, Dr. Paul D. Mushi akikielezea kitabu cha Tafakuri ya Maboresho ya Mitaala na Mkakati wa Mafunzo kwa Wadau katika Ukumbi wa maliasili Mjini Songea jana. (Picha na Christian Sikapundwa)

WADAU WA ELIMU WAKIPITIA CHANGAMOTO ZA ONGEZEKO LA KUTOJUA KUSOMA KUANDIKA NA KUHESABU

Kikundi cha wadau toka Manispaa na Songea Vijijini wakiibua hoja mbalimbali kuhusu mitaala ya elimu na ongezeko la wasiojua KKK kwa wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hapa mkoani Ruvuma ili zichukuliwe na Taasisis ya elimu Tanzania -TET wazifanyie kazi kuokoa jahazi. ( Picha na Christian Sikapundwa)